What if?

Image
        The day before writing this, I had a bad day. Wacha ni rewind kidogo, before I had the bad day, nilikuwa najiwaza nikijiuliza ni wapi nitatoa pesa ya kufanya ma one two three. Kiasi kiasi, around 3 or 4 hapo, in the afternoon, naona simu ikilia. In case you didn't know, zile times uko in the pits of hell, in the dark, struggling to find the way out, ndio simu huwa hailii kabsaa.  I won't lie, simu venye ililia ilinistua kidogo, ju sikuwa na expect any call from anyone, moreso at that time. Ilikuwa a new number, sijawahi lenga kuchukua new number ju huwezi jua who might be trying to reach you with a strangers phone, inaweza kuwa opportunity, inaweza kuwa fahm or Boyz wako yuko kwa ngori, you never know.  Venye nilichukua, nilikuwa nadhani ni vijana wa mulot wamepiga kunijaribu Imani, but I held my tongue, and waited for the person on the other end to speak. “Hello,  naongea na fulani?” I was there wondering huyu ni nani ananijua na simjui, na hi...

Moni

Wiki ilikuwa imenitoa mbio mbaya aje, ungedhani design ya hawker na kanjo wa Jiji. Venye ililand Friday jioni, nikajua baaas, naweza pumua kidogo. Nikaingia kwa hao, nikachamgamkia ka shower pale, niskie very nice, clean and fresh.

Alafu kutayarisha kitu ya kula pale ju tumbo ilikuwa inaguruma ka lorry ya FH, ikipanda mlima ikiwa imejaa mchanga. Food ikaiva tu hivi na nikajiserve. Design storyteller wenu yuko very clean na ameng’ara, alafu yuko tayari kuchangamkia plate ya food, ogopa. Hii ndio time huwa hautaki wageni kabsaa but hii life bana, no balance, time hautaki kitu ndio inakuja full force.

Kabla hata sijauma kijiko hata moja ya food nikasikia knock kwa mlango. Najaribu kuona ka ni next door, but venye knock naisikia haiwezi kuwa kwa neiba. Najaribu kukumbuka ka niliset appointment ya playoffs yeyote leo, naona pia zii.

Nikataka kulenga kufungua kabsaa. Design najikaza kuoneshana siko, usitake jua but knocking ikakuwa persistent sana hadi imeanza kuniudhi. Najiuliza tu kimoyomoyo,

“kwani mwenye anaknock hachoki..?”

Venye niliona mwenye anaknock ame persist nikajam nikaamua wacha nifungue nipeane maneno kadhaa na ikiweza pia ngoto zitembee. 



Nafungua tu hivi mlango, narukiwa na hug ingine moto ka jua yenye hukuwa January, na Moni. Nashangaa kwani, huyu dem amebadilika kidogo akaamua kupenda rungu na kuwachia kulamba ikuwe kwa glucose tu? 

After hug, venye aliinama kutoa hizo viatu zake, ndio weeeh wild thoughts zikaanza kuflow in. Mimi si engineer lakini, venye nilikuwa nafikiria na kuvisualize venye nitamweka kwa angle gani nikimnyorosha vilivyo.

😂😂

Akanotice nikamsho

“Leo nitakukunja under the covers hadi urudi kuwa straight.”

“utanyooka sawa sawa.”

Akacheka tu, then akaingia

“Souley kunanukia vizuri huku..,”

“kwani umepika nini leo?”


Comments

  1. Na hivyo ndio food ilienda🤣🤣🤣

    ReplyDelete
  2. 😂😂😂😂Buda you are having sex na hii economy? Musbenais

    ReplyDelete
  3. I love your piece of art thanks na mtu afai kuwa mchoyo hivo

    ReplyDelete
  4. Lakini uoge then ndio ukule weh hiyo ni new mimi huchangamkia kwanza 😂😂😂🥰🥰

    ReplyDelete
  5. hio kiroma ulikua umeeka avocado 😂😂

    ReplyDelete
  6. We Mzee uzoee kuweka stori yote😏

    ReplyDelete
  7. Wueh..sema suspense. Don't tell me the meal came to eat! Hahaha!

    ReplyDelete
  8. Wee mzee maliza story

    ReplyDelete

Post a Comment

Is a pleasure to keep you as my reader entertained. Peace✌️

Popular posts from this blog

Baddies in maandamano

Liar!

Aligongewa na si mlango.