INSECURE

Image
                 As I am writing this naskia masikio inakuwa moto ju ya hasira. Self control inashikiliwa na just a thread, nisikute that individual na panga niifanye shwaa shwaa shwaa, ka Samurai Jack. Najua mnashangaa mbona your storyteller amejaa ngori hivi, a certain individual, tuliagree nimpigie ma one two, nikatimiza, sasa kumpigia naskia mteja wa nambari uliyopiga hapatikani kwa sasa!   I'm livid, nashangaa rada hapa ni gani? In my mind, najaribu kuangalia mbona the individual yuko mteja from all perceptives, labda simu imezima, or imepotea, or pahali yuko hakuna network ndio call haingii, lakini the funny thing is there's a voice at the back of my head going hapanaaa! hapanaaa! hapanaa!  Anyway, I give the individual time, perhaps they will get back to me, explain to me why my calls to them were not going through you know? Naenda napiga shughuli mbili tatu, try to keep my mind occupied. Kuna this fear in another part o...

Moni

Wiki ilikuwa imenitoa mbio mbaya aje, ungedhani design ya hawker na kanjo wa Jiji. Venye ililand Friday jioni, nikajua baaas, naweza pumua kidogo. Nikaingia kwa hao, nikachamgamkia ka shower pale, niskie very nice, clean and fresh.

Alafu kutayarisha kitu ya kula pale ju tumbo ilikuwa inaguruma ka lorry ya FH, ikipanda mlima ikiwa imejaa mchanga. Food ikaiva tu hivi na nikajiserve. Design storyteller wenu yuko very clean na ameng’ara, alafu yuko tayari kuchangamkia plate ya food, ogopa. Hii ndio time huwa hautaki wageni kabsaa but hii life bana, no balance, time hautaki kitu ndio inakuja full force.

Kabla hata sijauma kijiko hata moja ya food nikasikia knock kwa mlango. Najaribu kuona ka ni next door, but venye knock naisikia haiwezi kuwa kwa neiba. Najaribu kukumbuka ka niliset appointment ya playoffs yeyote leo, naona pia zii.

Nikataka kulenga kufungua kabsaa. Design najikaza kuoneshana siko, usitake jua but knocking ikakuwa persistent sana hadi imeanza kuniudhi. Najiuliza tu kimoyomoyo,

“kwani mwenye anaknock hachoki..?”

Venye niliona mwenye anaknock ame persist nikajam nikaamua wacha nifungue nipeane maneno kadhaa na ikiweza pia ngoto zitembee. 



Nafungua tu hivi mlango, narukiwa na hug ingine moto ka jua yenye hukuwa January, na Moni. Nashangaa kwani, huyu dem amebadilika kidogo akaamua kupenda rungu na kuwachia kulamba ikuwe kwa glucose tu? 

After hug, venye aliinama kutoa hizo viatu zake, ndio weeeh wild thoughts zikaanza kuflow in. Mimi si engineer lakini, venye nilikuwa nafikiria na kuvisualize venye nitamweka kwa angle gani nikimnyorosha vilivyo.

πŸ˜‚πŸ˜‚

Akanotice nikamsho

“Leo nitakukunja under the covers hadi urudi kuwa straight.”

“utanyooka sawa sawa.”

Akacheka tu, then akaingia

“Souley kunanukia vizuri huku..,”

“kwani umepika nini leo?”


Comments

  1. Na hivyo ndio food ilienda🀣🀣🀣

    ReplyDelete
  2. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Buda you are having sex na hii economy? Musbenais

    ReplyDelete
  3. I love your piece of art thanks na mtu afai kuwa mchoyo hivo

    ReplyDelete
  4. Lakini uoge then ndio ukule weh hiyo ni new mimi huchangamkia kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ₯°πŸ₯°

    ReplyDelete
  5. hio kiroma ulikua umeeka avocado πŸ˜‚πŸ˜‚

    ReplyDelete
  6. We Mzee uzoee kuweka stori yote😏

    ReplyDelete
  7. Wueh..sema suspense. Don't tell me the meal came to eat! Hahaha!

    ReplyDelete
  8. Wee mzee maliza story

    ReplyDelete

Post a Comment

Is a pleasure to keep you as my reader entertained. Peace✌️

Popular posts from this blog

Death at a funeral, the interrogation.

Cloud 9 , what's next?

Miss Anonymous 2

Back to the basics.