Sina...

Imekuwa long tangu nichonge story ka venye Michelangelo alikuwa anachonga vitu clean many centuries ago. Story ilikuwa iende live but draft ilikuwa kwa simu, na simu ilizama kwa maji ka Petero venye alijishuku ati ni yeye anatembea kwa maji. Fundi naye kumpelekea simu akakuwa kama ule jamaa wa promises bandia za in “6 months”. Fundi amekaa nayo almost three weeks, ananichocha daily ati anaunda, kumbe anani-enjoy tu, simu imemlemea na hataki kunichapia.  Kuishi bila simu blunder, unasikia ni uko kwa kichaka ama ka wewe ni inmate. Nimefikiria venye shillingi itatoka nishike device ingine; itatoka ju fundi alishindwa kufufua simu hadi akili imetap out. Nikiscroll scroll YouTube nikiwa nimetulia after nimetoka kuchapiana na Boyz wangu Kimani ma one two one two, nimebump into this song called Wasted Story by Virusi Mbaya, sijui ni kama ni coincidence ama nini,  but nimerelate nayo mbaya sana na kuna part moja imepenya  “…Saka kila siku it's not enough..” “...Ma...

Moni

Wiki ilikuwa imenitoa mbio mbaya aje, ungedhani design ya hawker na kanjo wa Jiji. Venye ililand Friday jioni, nikajua baaas, naweza pumua kidogo. Nikaingia kwa hao, nikachamgamkia ka shower pale, niskie very nice, clean and fresh.

Alafu kutayarisha kitu ya kula pale ju tumbo ilikuwa inaguruma ka lorry ya FH, ikipanda mlima ikiwa imejaa mchanga. Food ikaiva tu hivi na nikajiserve. Design storyteller wenu yuko very clean na ameng’ara, alafu yuko tayari kuchangamkia plate ya food, ogopa. Hii ndio time huwa hautaki wageni kabsaa but hii life bana, no balance, time hautaki kitu ndio inakuja full force.

Kabla hata sijauma kijiko hata moja ya food nikasikia knock kwa mlango. Najaribu kuona ka ni next door, but venye knock naisikia haiwezi kuwa kwa neiba. Najaribu kukumbuka ka niliset appointment ya playoffs yeyote leo, naona pia zii.

Nikataka kulenga kufungua kabsaa. Design najikaza kuoneshana siko, usitake jua but knocking ikakuwa persistent sana hadi imeanza kuniudhi. Najiuliza tu kimoyomoyo,

“kwani mwenye anaknock hachoki..?”

Venye niliona mwenye anaknock ame persist nikajam nikaamua wacha nifungue nipeane maneno kadhaa na ikiweza pia ngoto zitembee. 



Nafungua tu hivi mlango, narukiwa na hug ingine moto ka jua yenye hukuwa January, na Moni. Nashangaa kwani, huyu dem amebadilika kidogo akaamua kupenda rungu na kuwachia kulamba ikuwe kwa glucose tu? 

After hug, venye aliinama kutoa hizo viatu zake, ndio weeeh wild thoughts zikaanza kuflow in. Mimi si engineer lakini, venye nilikuwa nafikiria na kuvisualize venye nitamweka kwa angle gani nikimnyorosha vilivyo.

πŸ˜‚πŸ˜‚

Akanotice nikamsho

“Leo nitakukunja under the covers hadi urudi kuwa straight.”

“utanyooka sawa sawa.”

Akacheka tu, then akaingia

“Souley kunanukia vizuri huku..,”

“kwani umepika nini leo?”


Comments

  1. Na hivyo ndio food ilienda🀣🀣🀣

    ReplyDelete
  2. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Buda you are having sex na hii economy? Musbenais

    ReplyDelete
  3. I love your piece of art thanks na mtu afai kuwa mchoyo hivo

    ReplyDelete
  4. Lakini uoge then ndio ukule weh hiyo ni new mimi huchangamkia kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ₯°πŸ₯°

    ReplyDelete
  5. hio kiroma ulikua umeeka avocado πŸ˜‚πŸ˜‚

    ReplyDelete
  6. We Mzee uzoee kuweka stori yote😏

    ReplyDelete
  7. Wueh..sema suspense. Don't tell me the meal came to eat! Hahaha!

    ReplyDelete
  8. Wee mzee maliza story

    ReplyDelete

Post a Comment

Is a pleasure to keep you as my reader entertained. Peace✌️

Popular posts from this blog

Death at a funeral, the interrogation.

Cloud 9 , what's next?

Back to the basics.

Miss Anonymous 2