Posts

Showing posts from November, 2022

INSECURE

Image
                 As I am writing this naskia masikio inakuwa moto ju ya hasira. Self control inashikiliwa na just a thread, nisikute that individual na panga niifanye shwaa shwaa shwaa, ka Samurai Jack. Najua mnashangaa mbona your storyteller amejaa ngori hivi, a certain individual, tuliagree nimpigie ma one two, nikatimiza, sasa kumpigia naskia mteja wa nambari uliyopiga hapatikani kwa sasa!   I'm livid, nashangaa rada hapa ni gani? In my mind, najaribu kuangalia mbona the individual yuko mteja from all perceptives, labda simu imezima, or imepotea, or pahali yuko hakuna network ndio call haingii, lakini the funny thing is there's a voice at the back of my head going hapanaaa! hapanaaa! hapanaa!  Anyway, I give the individual time, perhaps they will get back to me, explain to me why my calls to them were not going through you know? Naenda napiga shughuli mbili tatu, try to keep my mind occupied. Kuna this fear in another part o...

Miss Anonymous 2

Image
  Continued from here-->>  Miss Anonymous Ju ya kuwa street smart kiasi tu, niliweza kutoka kuwa mgeni wa serikali bila kesi kuwa ngori. Vile natoka though, weeeh! Nanuka, niko mchafu, usingizi, kitu nataka ni kufika tu kejani nioge, nipite kwa mathe nikule, nilale. Nafika hivi ploti, watoto wa jirani wakinicheki wanahepa tu wakilia, kwani nakaa mnyama nini? Wamama wa ploti, najua wameshapata story mpya na mimi, but haidhuru, watabonga kisha watalala. Venye nimeshiba, napiga shower nitoe stench na misuli inyooke kidogo kisha nalala. Nastukia mlango inabishwa, kuangalia saa ni saa kumi na moja jioni. Weeh, nimelala kama maiti za pale Chiromo.😅 Kumbe ni arif yangu Timo, na venye nilikuwa nimejitayarisha na maneno nikidhani ni landlord. 😅😅 Namfungulia mlango aingie, but anaingia akiniuliza nimepotelea wapi, ati amekuwa akinitafuta siku kadhaa.  Nikienda kuona venye nitamjibu, ghafla bin vuu, simu inalia. Kuenda kucheki ni nani anapiga, nastukia ni ule Miss Anonymous...

Miss Anonymous.

Image
                       Nikiwasho pahali nilipatana na huyu hamtaamini, the same way sikuamini story alikuwa ananichapia, karibu nimsho heri angekuja na taxin tuchane akinichapia hizo story zake. Alikuwa amekuja kunitembelea nikiwa ndani,  behind bars for a few hours ndio anichapie story nitawachapia in a few.  Ilikuwa a good day, nilikuwa tu nimetoka site kazi, foreman akiwa amenikanja  zangu after koroga kuisha na sijainama lunch hio siku. Nimeingia pale kejani, nikapiga shower, baadaye ka luku kidogo kutokea streets kutafuta rada ya kesho.  Naenda kuvuka hivi barabara, nduthi inapita shwaa! Karibu ipite na mimi. Nikienda kucheki rada ka ni safi kwa barabara ndio nivuke, nacheki someone's daughter ameivaa! Macho zetu na someone's daughter zikakutana, mimi huyo, nimepiga wink, akasmile,  green light ukipewa, unaenda huendi? Confidence iko on, full swing, nikaenda nikajitambulisha, nikamuuliza jina but ...