Posts

Showing posts from November, 2022

Mapenzi crazy!

Image
By the way, nishawahi pendwa na wazimu wasee . Not toxic like how some of your partners in some of your relationships are, just somebody's daughter who was mentally ill. Tulieni niwapee story how it all went down. I was coming from Murang'a , nilikuwa nimetoka huko kupiga shughuli mbili tatu, as you know kwa gari kuna wale watu hubebwa mid journey, so sisi hao, tuko Kenol , gari imesimama watu kadhaa wakashuka, conductor yuko nje anaita watu wengine waiingie kwa gari to fill the empty seats.  I have my awesome earphones on, nasikia kuna fracas outside but I mind my shit so I ignore it, ju the last time niliona mtu ameleta kiherehere kwa shughuli haikuwa yake, alistukia amepigwa Kofi , mate ikatoka na curve kama shot ya Messi in his prime. Suddenly, I look up, and a fine gal catches the edge of my sight, eye contact kiasi between me and her and she smiles.  Damn a fine gal like this one? Thank you God! I remove my earphones so I can see her well. I songa songa as she comes an...

Miss Anonymous 2

Image
  Continued from here-->>  Miss Anonymous Ju ya kuwa street smart kiasi tu, niliweza kutoka kuwa mgeni wa serikali bila kesi kuwa ngori. Vile natoka though, weeeh! Nanuka, niko mchafu, usingizi, kitu nataka ni kufika tu kejani nioge, nipite kwa mathe nikule, nilale. Nafika hivi ploti, watoto wa jirani wakinicheki wanahepa tu wakilia, kwani nakaa mnyama nini? Wamama wa ploti, najua wameshapata story mpya na mimi, but haidhuru, watabonga kisha watalala. Venye nimeshiba, napiga shower nitoe stench na misuli inyooke kidogo kisha nalala. Nastukia mlango inabishwa, kuangalia saa ni saa kumi na moja jioni. Weeh, nimelala kama maiti za pale Chiromo.😅 Kumbe ni arif yangu Timo, na venye nilikuwa nimejitayarisha na maneno nikidhani ni landlord. 😅😅 Namfungulia mlango aingie, but anaingia akiniuliza nimepotelea wapi, ati amekuwa akinitafuta siku kadhaa.  Nikienda kuona venye nitamjibu, ghafla bin vuu, simu inalia. Kuenda kucheki ni nani anapiga, nastukia ni ule Miss Anonymous...

Miss Anonymous.

Image
                       Nikiwasho pahali nilipatana na huyu hamtaamini, the same way sikuamini story alikuwa ananichapia, karibu nimsho heri angekuja na taxin tuchane akinichapia hizo story zake. Alikuwa amekuja kunitembelea nikiwa ndani,  behind bars for a few hours ndio anichapie story nitawachapia in a few.  Ilikuwa a good day, nilikuwa tu nimetoka site kazi, foreman akiwa amenikanja  zangu after koroga kuisha na sijainama lunch hio siku. Nimeingia pale kejani, nikapiga shower, baadaye ka luku kidogo kutokea streets kutafuta rada ya kesho.  Naenda kuvuka hivi barabara, nduthi inapita shwaa! Karibu ipite na mimi. Nikienda kucheki rada ka ni safi kwa barabara ndio nivuke, nacheki someone's daughter ameivaa! Macho zetu na someone's daughter zikakutana, mimi huyo, nimepiga wink, akasmile,  green light ukipewa, unaenda huendi? Confidence iko on, full swing, nikaenda nikajitambulisha, nikamuuliza jina but ...